Mabadiliko ya tabianchi na dhulma za kijinsia
News
Published on 18/01/2025

Shirika lisilo la kiserikali (NGO) Dream acheavers organisation waliandaa hafla pevu kukongamana na wakaazi wa ziwa la ng'ombe kata ndogo ya nyali kutoa uhamasisho kuhusu changamoto na hatari za mabadiliko ya tabianchi

 

Hafla hiyo ikiwa imehudhuriwa na washikadau mbali mbali akiwemo Afisa afya wa dhulma za kijinsia kata ndogo ya nyali Razia Miraj,amesema kwamba mafuriko ziwa la ng'ombe  limekuwa kero kwa wakaazi na kusababisha wakaazi kuhama majumba Yao na kukimbilia katika maeneo yaliyo salama mbinu inayo changia dhulma za kijinsia kuchipuka.

 

NA PETER MBONGE 

Comments
Comment sent successfully!

Chat Online