AJALI MBAYA YAFANYIKA MALINDI
News
Published on 01/07/2024

Ajali mbaya yashuhudiwa eneo la Mida baada ya Gari lililokuwa linatoka Malindi kuelekeza Mombasa kuhusika kwenye ajali.

 

Kondakta ameripotiwa kufariki papo hapo huku abiria wengine wengi wao wakiwa wanafunzi  wakiwa kwenye hali mahututi.

 

Manusura wanapokea matibabu katika hospitali ya Malindi.

Comments
Comment sent successfully!

Chat Online